Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgomo wa wafungwa waipa changamoto magereza.........

$
0
0
 Tishio la mgomo wa wafungwa 17 waliohukumiwa kifo na wa vifungo vya kati ya miaka mitano hadi 30 katika Gereza Kuu la Lilungu lililopo mkoani Mtwara, limelitikisa Jeshi la Magereza nchini na kuchukua hatua haraka kushughulikia malalamiko yao. Aidha, wafungwa hao walikataa kuvichukua baadhi ya vitu vilivyopelekwa gerezani hapo na Mkuu wa Magereza Mkoa wa Mtwara, Mussa Kaswaka, wakidai

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles