Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania asilimia 33.4 watajwa kuwa ni maskini waliokithiri

$
0
0
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), umebaini asilimia 33.4 ya Watanzania wameghubikwa na umaskini uliokithiri jambo linalosababisha vifo, msongo wa mawazo, afya duni na utegemezi.    Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Redio cha Maendeleo kwa ajili ya kutoa taarifa za maendeleo kwa umma iliyozinduliwa na ESRF jana, Mhadhiri wa Uchumi wa Chuo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>