IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe,
Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma,
Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa
sumu....
KABLA YA YOTE
Awali, staa huyo ambaye amepitia
mitihani mingi, alitundika picha katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram
na kulalamika kuumwa tumbo.
Katika maelezo
↧