Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Moja kati ya yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani...... mbunge ajeruhiwa, na mabomu kurindima

$
0
0
    Chaguzi  za udiwani katika kata 27 uliofanyika jana katika maeneo tofauti ulitawaliwa na matukio mabaya yakiwamo ya polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi, huku mbunge mmoja akicharangwa mapanga na kukimbizwa hospitalini kupatiwa huduma. Katika kata ya Sombetini, jijini Arusha, askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), walirusha mabomu ya machozi kutuliza vurugu za watu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>