Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Muuaji wa Tarime afa kwa ugonjwa.......

$
0
0
Mtuhumiwa wa mauaji na unyang’anyi wilayani Tarime mkoani Mara, aliyekuwa akitumia majina matatu ya Charles  Range Kichune, Josephat Chacha, Charles Joseph Msongo (38) aliyekuwa akihojiwa na Polisi, amefariki katika Hospitali ya wilaya wakati akipatiwa matibabu. Kamanda wa Polisi Kanda ya Tarime/ Rorya, Justus Kamugisha, alisema mtuhumiwa huyo alifariki usiku wa kuamkia jana wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>