Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume amenitelekeza na watoto wanne..... Ndiye aliyesababisha nikomee darasa la sita

$
0
0
Nkasi, Rukwa MATUKIO ya utelekezaji wa mke na watoto nchini Tanzania bado ni changamoto kubwa katika jamii. Licha ya matukio haya kutofautiana kutoka eneo moja hadi lingine bado yanachochewa na kulegalega kwa sheria za nchi ikiwemo sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kwa baadhi ya vipengele. Waathirika wakubwa wa matukio haya ni mama pamoja na watoto ambao ndio hutelekezwa huku baba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>