Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Skendo ya kujiuza yamfanya baby madaha apigwe chini na Record label yake ya Candy and Candy ya huko Kenya na kupokonywa gari....Akiri uchawi upo

$
0
0
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kwani mambo yaliyomtokea hivi karibuni haelewi hata imekauje.   Chanzo nini? Hapo siku za nyuma baby Madaha alipatikana na dhahama ya kukumbwa na kashfa nzito sana ya kujiuza kwa dau la milioni kumi kwa jamaa mmoja hivi mitaa ya Dar es Salaam Jambo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles