Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uchaguzi wa madiwani: CCM yapata ushindi wa kishindo ....Yashinda kata 24 kati ya 27, CHADEMA waambulia kata 3 tu

$
0
0
WAKATI Chama Cha Mapinduki (CCM),ikishinda Kata 24 Kati ya Kata 27 ambazo Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Umefanyika jana Kote Nchini, mjini Kigoma katika jimbo la Mbunge wa Chadema Zitto Kabwe ushindi umekwenda kwa CCM.   Hatua ya Chadema kushindwa katika kata ya Mkongoro inatokana na mgogoro ulioikumba Chama hicho baada ya Mbunge huyo kuvuliwa nyadhifa zake  ndani ya chama hicho. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>