Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Muuza magazeti ajitokeza kuwania ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CHADEMA

$
0
0
Bw. Aidan Pugili WAKALA wa magazeti mjini Iringa Aidan Pugili (34),  amejitokeza kuwania ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Uchaguzi mdogo wa kujaza kiti hicho kilichoachwa wazi na Dk William Mgimwa aliyefariki Januari 1, mwaka huu, utafanyika Machi 16, mwaka huu. Akitumia umaarufu wake wa kuuza magazeti mjini hapa, Pugili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>