Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kuzuia uhalifu kwa njia ya mtandao

$
0
0
TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wakimataifa utakaojadili uzuiaji wa uhalifu unaotokana na matumizi ya njia ya mtandao, unatarajia kufayika Jijini Dar es Salaam, Machi 27 hadi 28 mwaka huu. Mkutano huo unatokana na kuwa Tanzania ni miongoni mwa baadhi ya nchi zinazokabiliwa na changamoto za uhalifu huo kwa njia ya mtandao. Akizungumza na wandishi wa habari jijini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>