Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TANESCO yajipanga kuboresha vituo vya kupoozea umeme jijini Dar ili kupunguza adha ya kukatika kwa umeme nchini.

$
0
0
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema lipo katika mpango wa uboreshaji wa vituo vidogo vya usambazaji na upoozaji wa umeme katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kupunguza na kumaliza adha ya kukatika kwa umeme nchini. Vituo hivyo ni pamoja na kile kilichopo katikati ya jiji pamoja na kituo cha Kurasini. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa ziara

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>