Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete aikazia macho TAKUKURU

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, Rais Kikwete alisema endapo vyombo hivyo vitafanya kazi yao ya upelelezi kwa haraka, uendeshaji wa kesi utaharakishwa na hukumu kutolewa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>