Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Nyalandu Asema; Tutawalipa askari kabla ya operesheni ya pili

$
0
0
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema askari 2,000 waliounda kikosi maalumu cha Operesheni Tokomeza Ujangili watalipwa fedha zao kabla ya kuanza kwa awamu ya pili ya operesheni  hiyo.   Nyalandu alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, kusema kuna zaidi ya askari 2,000 waliounda kikosi maalumu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>