Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa
Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake
Kanisa la Moravian
Ilolo likiwa limejaa maji ndani
Hakika inasikitisha
watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa
ilionyesha jijini Mbeya wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani
↧