Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameingilia kati vita ya
kuwania urais mwaka 2015 kwa kukemea kwa baadhi ya makada wa chama hicho
kuanza kampeni mapema.
Kadhalika, ameziagiza Kamati za Maadili na Usalama
za chama hicho kuwachukulia hatua stahiki viongozi na wanachama wake
wanaomwaga fedha ili kupata uongozi.
Rais Kikwete alizungumzia
↧