Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete aingilia kati vita ya urais CCM mwaka 2015 kwa kuwakemea walioanza kampeni mapema.....Mangula asema kamati ya maadili itamhoji Lowassa

$
0
0
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameingilia kati vita ya kuwania urais mwaka 2015 kwa kukemea kwa baadhi ya makada wa chama hicho kuanza kampeni mapema.    Kadhalika, ameziagiza Kamati za Maadili na Usalama za chama hicho kuwachukulia hatua stahiki viongozi na wanachama wake wanaomwaga fedha ili kupata uongozi.   Rais Kikwete alizungumzia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>