Kiongozi wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher
Mtikila amenusurika kifo na mtu mwingine aliyetambuliwa kwa jina moja la
Mikidadi, ambaye yupo mahututi katika Hospitali ya Temeke, baada ya
kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa na mzozo wa ardhi eneo la Kurasini,
jijini Dar es Salaam.
Mchungaji Mtikila alikumbwa na mkasa huo Ijumaa
wiki iliyopita baada ya kufika katika
↧