Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Nikifa leo au kesho, ninaomba niagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar ili kila mtu aweze kupata nafasi ya kuniaga"...Wema Sepetu

$
0
0
Wema Isaac Sepetu ambaye huwa haishiwi habari, ameibuka na jipya akidai kuwa akifa leo au kesho basi aagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar..   Miss Tanzania huyo wa 2006/07 ambaye anakimbiza kwenye sinema za Kibongo alifunguka hayo wikiendi iliyopita wakati akiwa safarini kuelekea jijini Arusha ambapo msanii anayemilikiwa na kampuni ya Wema ya Endless Fame Production aliyetajwa kwa jina

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>