Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

John Samwel Malecela naye amlipua Lowassa.... Aitaka Sekretarieti ya CCM imshughulikie haraka

$
0
0
MAKAMU Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Taifa, John Samwel Malecela, ameitaka Sekretarieti ya chama hicho kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanachama wanaoharibu misingi ya chama hicho kwa kutumia fedha zao hadharani kwa lengo la kutafuta umaarufu na ushawishi kwa vijana katika harakati za kugombea urais mwaka 2015.   Ushauri huo ulitolewa jana na Malecela wakati akizungumza na waandishi wa habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>