Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mpasuko waanza kuinyemelea CCM...Mwanzilishi wa CCJ ayaanika majina 37 ya viongozi wa chama hicho ambao ni Mamluki. Yumo Nape Nnauye na Paul Makonda

$
0
0
SIKU moja baada ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoa tamko la kumtaka aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuacha kukigawa chama kwa madai kuwa hana sifa kuwa rais, mambo mazito yamezidi kuibuka huku ikitolewa orodha ya wanachama wa CCM wakiwemo mawaziri, wabunge na makada maarufu wanaodaiwa kukisaliti chama hicho.   Hatua hiyo imeenda sambamba na kumtaka Katibu wa Umoja wa Vijana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>