Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wavaa milegezo na vimini sasa kuanza kuchapwa viboko nchini Tanzania

$
0
0
MKUTANO Mkuu wa Kijiji cha Olgilai wilayani Arumeru umeazimia kuwachapa viboko vijana wa kiume wanaovaa suruali chini ya makalio pamoja na wanawake wanaovaa sketi fupi na suruali zinazobana. Azimio hilo pia limeelekezwa kwa wanafunzi wanaopata mimba au kuozeshwa na kuacha masomo bila sababu za msingi. Mkutano huo umepitisha maazimio saba yanayolenga kurejesha nidhamu na heshima

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>