Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kila raia wa Tanzania anadaiwa sh. 600,000/- ambayo ni sehemu ya deni la taifa la trilioni 27.04...Waziri asema nchi bado inakopesheka.

$
0
0
Kila Mtanzania bila kujali kama ni mtoto, mzee au mfanyakazi anadaiwa Sh. 600,000 miongoni mwa watu milioni 45 raia wote wa Tanzania. Hali hiyo inatokana na kuongezeka kwa deni la Taifa kufikia Dola za Marekani bilioni 17.10 (Sh. trilioni 27.04 hadi kufikia Desemba mwaka jana. Kwa mtumishi wa serikali anayelipwa kima cha chini cha Sh. 150,000 kwa mwezi atatakiwa kulipa deni kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>