Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwigulu Nchemba awataka watanzania kutozubaishwa na helikopta ya CHADEMA na badala yake wazingatie sera za mgombea kama zinakidhi matakwa yao

$
0
0
Chama cha mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema)kutumia Helikpota kwenye chaguzi zake huku kikidai kuwa ni mkombozi wa wananchi jambo ambalo ni kujitafutia sifa na umaarufu pekee  kwa wananchi.     Hayo yameelezwa na Naibu Katibu mkuu wa CCM ambaye pia ni Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba wakati akifungua rasmi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>