Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kauli ya Kaimu Kamanda Polisi Temeke kuhusu moto ulioteketeza mali kadhaa ndani ya ghorofa ya nne katika Jengo la GMC Heights hapo jana

$
0
0
Moto ulizuka jana katika ghorofa ya nne katika Jengo la GMC Heights lililopo Barabara ya Nyerere umeteketeza vitu vyote vilivyokuwamo katika chumba ambacho kinatumika kama stoo ya kuhifadhi santuri (CD) za muziki na stika zake.    Moto huo ambao chanzo chake hakijafahamika ulizuka saa 7:45 mchana katika jengo hilo ambalo lina ghorofa saba na kuzua mtafaruku mkubwa kwa majirani na watu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>