Moto ulizuka jana katika ghorofa ya nne katika Jengo la GMC
Heights lililopo Barabara ya Nyerere umeteketeza vitu vyote
vilivyokuwamo katika chumba ambacho kinatumika kama stoo ya kuhifadhi
santuri (CD) za muziki na stika zake.
Moto huo ambao chanzo chake hakijafahamika ulizuka
saa 7:45 mchana katika jengo hilo ambalo lina ghorofa saba na kuzua
mtafaruku mkubwa kwa majirani na watu
↧