Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akipokea nakala za ripoti za Tume
ya Mabadiliko ya Katiba ikiwemo Rasimu ya Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji
Joseph Warioba wakati wa ziara yake ya kutembelea na kuzungumza na Watendaji wa Tume
hiyo aliyoifanya mwishoni mwa wiki Jijini Dar es Saalam.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph
↧