Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania kuisaidia Madagascar kuondolewa vikwazo ilivyowekewa na jumuiya za kimataifa.

$
0
0
  Rais mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akiapishwa rasmi rais wa nchi hiyo mjini Antananarivo kufuatia ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo mwezi Desemba 2013. Rais mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akisani kiapo chake tayari kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi wa Madagascar mbele ya Jaji Mkuu wan chi hiyo Jean –Michael

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles