Rais
mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akiapishwa rasmi rais wa
nchi hiyo mjini Antananarivo kufuatia ushindi mkubwa alioupata katika
uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo mwezi Desemba 2013.
Rais
mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akisani kiapo chake tayari
kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi wa Madagascar mbele ya Jaji Mkuu wan
chi hiyo Jean –Michael
↧