Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tuhuma nzito Baraza la Mawaziri ....Profesa Ibrahim Lipumba atilia shaka elimu ya waziri wa fedha, Waziri naye afunguka kwa kutoa vielelezo lukuki

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amelishushia tuhuma nzito Baraza la Mawaziri, baada ya kudai baadhi ya mawaziri walioteuliwa hawana elimu ya kutosha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema mmoja wa mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya. Alisema chama chake, kina wasiwasi na elimu ya Waziri Mkuya,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>