Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Freeman Mbowe anusurika kufa jijini Mwanza

$
0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali.   Ajali hiyo ilitokea jana saa 6 mchana, umbali wa kilometa mbili kutoka Kata ya Katoro, Geita na inadaiwa kuwa gari alilokuwa akitumia limeharibika sehemu ya mbele.   Taarifa za uhakika kutoka eneo la tukio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>