Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Obama amwalika Rais JK Kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Marekani Mheshimiwa Barack Obama amemwalika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika ambao anauandaa katika mji mkuu wa Marekani, Washington baadaye mwaka huu.Mkuu wa Shirika la Misaada ya Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Rajiv Shah amewasilisha mwaliko

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>