Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Slaa; 2015 Maamuzi Magumu na Makini ni muhimu kwa maslahi ya Watanzania

$
0
0
 KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema ili nchi iondokane na hali ya umaskini, wananchi wanatakiwa kufanya uamuzi mgumu wa kutoirudisha CCM madarakani, katika uchaguzi mkuu ujao, utakaofanyika mwakani.Dk. Slaa alisema misingi mibovu ya CCM ndiyo sababu ya nchi kuyumba na kwamba hali hiyo imechangia Tanzania kuwa ya pili kutoka mwisho kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>