Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbowe kuitikisa kambi ya Zitto Kabwe

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, leo anatarajiwa kuwasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya mikutano ya Operesheni M4C Pamoja Daima. Mbowe ambaye atafanya mikutano katika wilaya zote za mkoa huo, anatarajia kupita kwenye ngome za aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Hii itakuwa mara ya kwanza, Mbowe kufanya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>