Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Pinda acharuka Kiteto....Ataka polisi wawasake wauaji, kesi ichukue muda mfupi

$
0
0
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameagiza wakazi wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos waridhie amri ya Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye eneo hilo wakati serikali ikitafuta ufumbuzi wa suala la wapi watakwenda.    “Wakazi walioko kwenye hifadhi ni lazima watii amri halali ya Mahakama ya Rufaa na waondoke katika eneo husika.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>