Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RAISI Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho zitakazofanyika kitaifa Mkoani Mbeya

$
0
0
RAISI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho zitakazofanyika kitaifa Mkoani Mbeya. Akitoa taarifa kwa waandishi wa Habari  katika Mkutano uliofanyika katika Ofisi za Chama hicho Mkoa zilizopo Sokomatola Jijini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>