Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi nchini Msumbuji yakanusha kuwakamata wanyarwanda wanne wanaotuhumiwa kumuua mpinani wa Rais Kagame, Lt Kanali Karegeya

$
0
0
Polisi nchini Msumbuji wamekanusha madai kuwa wamewakamata watu wanaoshukiwa kumuua mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Rwanda Patrick Karegeya.   Msemaji wa polisi nchini humo Joao Machava amesema kuwa hakuna mshukiwa aliyezuiliwa kuhusiana na mauaji hayo ya Patrick Karegeya ingawa kuna raia kadhaa wa Rwanda waliokamatwa nchini humo.   Awali alinukuliwa akisema wanyarwanda kadhaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles