Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madereva bodaboda mkoani Mbeya wapora maiti kanisani na kuamua kuizika wenyewe baada ya kuchoshwa na ibada ndefu ya mchungaji

$
0
0
Kundi la vijana 60, juzi walipora mwili wa marehemu Gabriel Ngalele ukiwa unaombewa kwenye Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (TAG) eneo la Uyole jijini baada ya kuchoshwa na ibada ndefu ya mchungaji.    Ibada hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Mchungaji, Edward Mtweve wa kanisa hilo ambaye alijikuta kwenye mazingira magumu baada ya vijana hao wanaodaiwa kuwa ni madereva wa pikipiki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>