Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vibaka waivamia nyumba ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na kuiba vitu kadhaa

$
0
0
NYUMBA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, inayotumiwa na mjane wake, Mama Maria na familia, imevamiwa na vibaka usiku na kuvunjwa.  Taarifa zilizofikia  jana zilibainisha kuwa vibaka hao walipitia upande wa ufukweni usiku wa manane, wakavunja dirisha na kuingia.   Kwa mujibu wa taarifa hizo, vibaka hao walitoweka na televisheni, ambayo haikutajwa aina wala ukubwa na kompyuta ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles