Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ferooz atiwa mbaroni baada ya kunaswa akivuta bangi

$
0
0
NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango katika Kituo Kidogo cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, baada ya kukutwa akivuta bangi pamoja na vijana wenzake kadhaa maeneo ya Sinza, karibu na Baa ya Meeda. Habari zilizopatikana kutoka kwa mashuhuda, zilisema Ferooz

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>