WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam,
Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa
chini na kituo hicho...
Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa
uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya
utovu wa nidhamu wa watangazaji hao.
Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba
↧