Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM ) wafunga barabara ya Mandela kwa mawe baada ya TANESCO kuwakatia umeme kwa siku tatu...Polisi yatoa onyo kali

$
0
0
Polisi mkoa wa Kinondoni imetoa  onyo  kali  kwa  wanafunzi  wa  chuo  kikuu  cha  Dar es Salaam  kutokana  na  kufunga  barabara  ya  Mandela  na  kurusha  mawe  wakidai  kukatiwa  umeme  kwa  takribani  siku  tatu.... Wanafunzi  hao  waliifunga  barabara  hiyo  kati  ya  saa tatu  na  saa  nne  usiku  katika  hosteli  za  Mabibo  huku  wakirusha  mawe  na  wengine  kulala 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>