Polisi mkoa wa Kinondoni imetoa onyo kali kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutokana na kufunga barabara ya Mandela na kurusha mawe wakidai kukatiwa umeme kwa takribani siku tatu....
Wanafunzi hao waliifunga barabara hiyo kati ya saa tatu na saa nne usiku katika hosteli za Mabibo huku wakirusha mawe na wengine kulala
↧