Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya Mbowe kutishia kumshitaki Zitto Kabwe mahakamani, Zitto ajibu mapigo kwa kudai kuwa yupo tayari kupambana naye mahakamani

$
0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema anamsubiri Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mahakamani.  Zitto ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Mbowe kutangaza kumburuza mahakamani, kutokana na kile kinachodaiwa kumzushia tuhuma za uongo. “Nasema sitaki malumbano na kiongozi yeyote, nachotambua masuala ya mahakamani yanajibiwa mahakamani na si vinginevyo,” alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>