Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete aomba msaada kwa serikali ya China kusaidia kupanga miji nchini

$
0
0
Rais Kikwete aomba msaada wa China kupanga miji nchini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameiomba Jamhuri ya Watu wa China kusaidia mipangomiji katika baadhi ya maeneo ya kimkakati ya Tanzania na China imekubali kuleta timu ya wataalam kufanya tathmini katika maeneo hayo yote ama baadhi ya maeneo hayo ili kujua mahitaji kamili ya mipangomiji ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>