RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi leo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za Maulidi Kimkoa, Dar es Salaam zinazofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Sikukuu ya Maulid inaadhimishwa na waumini wa dini ya Kiislamu duniani kote, ikiwa na maana ya kumbukumbu kuzaliwa kwa Mtume Muhamad(S.A.W).
Kitaifa, sherehe hizo zinafanyika Kigoma na mgeni rasmi ni Rais Jakaya
↧