Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sad News: Jambazi laua watu watatu muda huu akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Newala

$
0
0
Kamanda Zelothe Stephen ** Habari za hivi punde zinasema kuwa watu watatu akiwamo Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Newala wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu anayesadikiwa kuwa ni jambazi muda mfupi uliopita. Kwa mujibu wa mashuhuda, jambazi huyo aliyekuwa na bunduki aina ya SMG iliyokatwa kitako, alifika kwenye kituo cha mafuta cha Camel Oil mjini humo akijifanya anataka kununua mafuta.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>