Umaskini, magonjwa na matatizo mengine yanayowakabili binadamu,
yamewafanya waamini kila kitu wanachoambiwa na viongozi wao wa dini kama
njia ya kuyaondoa.
Muumini akila majani ili kuwa karibu na Mungu
Mchungaji wa nchini Afrika Kusini amewafanya waumini wake wale majani kama mbuzi eti ili waweze kuwa karibu na Mungu.
Mwanamke mmoja alidai kuwa kula majani kulimponya koo lake
↧