Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mchungaji awaamuru waumini wake wale majani kama mbuzi ili waweze kuwa karibu na Mungu

Umaskini, magonjwa na matatizo mengine yanayowakabili binadamu, yamewafanya waamini kila kitu wanachoambiwa na viongozi wao wa dini kama njia ya kuyaondoa. Muumini akila majani ili kuwa karibu na Mungu Mchungaji wa nchini Afrika Kusini amewafanya waumini wake wale majani kama mbuzi  eti ili waweze kuwa karibu na Mungu. Mwanamke mmoja alidai kuwa kula majani kulimponya koo lakeImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles