Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiache kumsakama Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kwa sababu tu ya kutaka kutimiza ndoto yake.
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons -->
Ndesamburo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Kilimanjaro, alisema kama ni kuonyesha nia wapo wanachama wengine wa CCM
↧