Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kauli ya UVCCM kuhusu baadhi ya wana CCM wanaojinadi kugombea nafasi za uongozi

$
0
0
Kwa kipindi kirefu sasa vijana ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tumeshuhudia na kusikia kauli na vitendo vya baadhi ya wanachama wa CCM vinavyoashilia ukiukwaji wa makusudi wa maadili, miiko na kanuni za Chama. CCM katika uhai wake wa miaka 37 baada ya kuunganisha TANU na ASP, imeendelea kukua na kushamiri kutokana na misingi imara ya kikatiba tuliyojiwekea tangu mwaka 1977, ambayo wana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles