Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) litaandiksiha vijana wa kujiunga na JKT kwa kujitolea kuanzia Januari 2014.
Nafasi hizo zimetolewa kwa Tanzania Bara na Visiwani.
Usaili utaanzia ngazi za Wialaya hadi Mkoa. Vijana wanaopenda kujiunga na JKT kwa kujitolea kwa kipindi cha miaka miwili wapelekea maombi yao kwenye Wilaya waliko.
Mafunzo yataanza mwezi Machi kwa watakaochaguliwa.
Sifa na
↧