<!-- adsense -->
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.
Baraza
la mitihani Tanzania NECTA limetangaza rasmi matokeo ya Kidato cha Nne
2012. Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka
jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la
Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya
ufaulu.
Matokeo hayo mapya
↧