Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

KWA STAILI HII,,,,, SIMU NI KERO KUBWA; MUME AMJERUHI VIBAYA MKEWE KWA KUTOPOKEA SIMU

$
0
0
 Kareny Masasy, HabariLeo, Shinyanga — MWANAMKE mkazi wa Kata ya Lubaga, Sophia Haji (22) Manispaa ya Shinyanga anadaiwa kupigwa na mumewe na kusababishiwa majeraha makubwa kwa kile kilichodaiwa alichelewa kupokea simu ya mumewe.  Polisi inamsaka mwanamume huyo, Daniel Daud ambaye kutokana na kipigo, mkewe alitokwa na damu nyingi sehemu za siri. Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Shinyanga,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>