Kareny Masasy, HabariLeo, Shinyanga
— MWANAMKE mkazi wa Kata ya Lubaga, Sophia Haji (22) Manispaa ya
Shinyanga anadaiwa kupigwa na mumewe na kusababishiwa majeraha makubwa
kwa kile kilichodaiwa alichelewa kupokea simu ya mumewe.
Polisi
inamsaka mwanamume huyo, Daniel Daud ambaye kutokana na kipigo, mkewe
alitokwa na damu nyingi sehemu za siri. Kamanda wa Polisi, Mkoa wa
Shinyanga,
↧