Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa
wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia
internet.
Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa huduma ya internet siku 15 kufunga biashara zao. “kampuni yoyote au mtu yeyote atakayepatikana akipuuza onyo hilo
atajulikana kama mtu anayewafanyia kazi maaduzi zetu, na ataadhibiwa
↧