Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

HAYA SASA,,, NDOA YA KARNE BONGO HIYOOO....

$
0
0
Mwaka mpya mambo mapya.Katika tukio linaloweza kuitwa kama ndoa ya karne, mzee mmoja mwenye umri wa miaka 91, Nkwabi Ngobola Kapimbi, wiki iliyopita alifunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78) mbele ya mchungaji Thobias Shilole wa Kanisa la Maombezi huko Kibaha mkoani Pwani.  Mzee Nkwabi akipozi na mkewe Maria. Tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, lilitokea baada

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>